Huko Libya, mwaka 1992 kulirekodiwa joto lililofikia hadi nyuzi joto 57, au waweza sema F 136, na hii ilikuwa ni huko El Azizia. Lakini pia wajua kwamba baridi kali zaidi lililowahi kurekodiwa lilitokea huko Antarctica's vostok station ambako vipimo vilionesha.... minus -128.6 degrees fahrenheit (minus 89.2 degrees C).. Yaani hata ukipumua pumzi yako unayoitoa inaganda, UPO HAPO!!
0 comments:
Post a Comment