Polisi nchini India wamesema
kuwa mwanamke mwenye umri wa miaka 26 mtaalamu wa Komputa, amekuta
akiwa amenyongwa nyumbani kwao.
Wazazi wa mwanamke huyo ambao wapo rumande, wamekiri kumuua binti yao kwa sababu...aliolewa kinyume na matakwa yao.
Mwanamke huyo aliolewa na mfanyakazi ,mwenzake kutoka jamii tofauti siku chache zilizopita.
Maafisa wanasema kuwa mauaji kama haya sio kawaida kutokea maeneo ya Kusini mwa India.
0 comments:
Post a Comment