NAJUA WAJUA NAMI NAKUJUZA WEWE UNAYETAKA KUJUA MEENGI YA DUNIA..
Wanandoa ambao wameishi pamoja kwa kipindi kirefuuu kuliko wote hawa hapa, ni Bw.&Bibi Karam Chand na Kartari Chand ambao...
hadi tarehe 4 mwezi huu wa tatu 2014 wamefikisha miaka 88 na siku 83 ya ndoa yao!! Na maisha yao yote hadi sasa wamekuwa wakiishi huko Bradford, United Kingdom..
Wanandoa ambao wameishi pamoja kwa kipindi kirefuuu kuliko wote hawa hapa, ni Bw.&Bibi Karam Chand na Kartari Chand ambao...
hadi tarehe 4 mwezi huu wa tatu 2014 wamefikisha miaka 88 na siku 83 ya ndoa yao!! Na maisha yao yote hadi sasa wamekuwa wakiishi huko Bradford, United Kingdom..
0 comments:
Post a Comment