Tuesday, July 10, 2012
0



"UTUKUZWE YEHOVA" Ndivyo anavyoonekana akisema Frola Mbasha, hapa ilikuwa Marekani.. kwenye ziara ndefu ya mafanikio, endelea kufuatilia blog hii kwa taarifa zaidi kuhusu matokeo ya ziara hiyo..

Mr& Mrs Emmanuel Mbasha wakiwa wamepozi kwa picha, hapa ilikuwa kulee kwa OBAMA (USA)

Wamependeza kwa mavazi yenye ushuhuda, MBASHA team wakiwa kazini pamoja na Frola Mbasha..

Ona umati huo, shetani ulaaniwe humpati mtu yeyote kati yao.. PRAISE THE LORD! MBASHA TEAM wakiwa kazini


AAaah.. Ndivyo anavyoonekana akisema muimbaji Frola Mbasha.. wakati vijana wakiwa katika step kaliii..

Mr & Mrs Emmanuel Mbasha wakiwa jukwaani.... SIFA NA UTUKUFU NI KWA BWANA..

Mr. Emmanuel Mbasha akishambulia jukwaa..

0 comments:

Post a Comment

MAONI YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

MARAFIKI

WANAO NITEMBELEA