Friday, July 20, 2012
0
Waokozi wakiwa kazini...

Muokozi akiwa anuvuta mwili uliondani ya maji..

Meli ya uokozi ikiwa eneo la tukio..

Hawa ni ndugu zetu waliofanikiwa kupanda juu ya mgongo wa meli ili kujiokoa..

Mh. Rais Jakaya M. Kikwete wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania akiwa pamoja na Rais na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi la Zanzibar Mh.Mohamed Shein, wakiangalia baadhi ya maiti zilizokuwa kwenye viwanja vya Maisara.....

Baadhi ya wananchi wakiwa viwanja vya Maisara kwenda kuangalia au kutambua miili ya wapendwa wao..

"jamani tusaidieni" ndivyo wanavyoonekana wakisema wapendwa hawa..

0 comments:

Post a Comment

MAONI YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

MARAFIKI

WANAO NITEMBELEA