| Mch.Bent Dongwe, ambaye pia ni baba mkwe akinikabidhi binti yake tayari kwa ibada ya ndoa (KLPT-Parish ya Mbezi Luis) |
| Mzee wa kanisa (Emmanuel) akiongoza kikundi cha sifa kumtukuza BWANA wakati tukiingia kanisani |
| Best man.. wajina wangu Emmanuel akiwa kazini wakati nikijibu maswali kutoka kwa Mchungaji Job Sembucha |
| Wow.. kama malaika.. |
| Lazima utoe ahadi huku ukimtazama usoni....eeeh! ili umaanishe |
| Sawa mama nakusikiliza.. |
| Na kwa pete hii, naomba iwe alama na ukumbusho kwako juu ya ahadi niliyoitamka leo mbele ya madhabahu takatifu..AMEN! |
| OOOoo Lord help me out |
| Shusha mkono basii.. mwenzio sifikii! |
| Ewaa.. hapo sawa! imekaa mahala pake.. |
| NAKUPENDA WANGU.. |
| Asanteni watumishi wa Bwana kwa kutukabidhi mbele zake.. |
| Mch.Job Sembucha yeye ndie aliyetufungisha ndoa yetu.. |
| "alichokiunganisha YEHOVA binadamu kamwe asikitenganishe" maneno ya Mchungaji sio yangu jamani.. |
| Ilikuwa kama ndoto.. mwenye gauni jekundu hapo mbele kushoto ni mdogo wangu wa mwisho anaitwa, Theresia Likuda |
| Mh......ndio! |
| Wow... |
| Aaah.. ulipendezaje wangu.. |
| Babako sasa... yaani sterling ndio anaingia..Bwana Yesu apewe sifa.. |
| Mh...aya! |
| Ngoja nikufute dadako yuko busy.. |
| Eeeh mama! siondoki.. |
| Mr &Mrs Emmanuel Likuda |
| Lets dance peoples.. wache wafurahi... |
| Kwaito sasa,,,, mie simo! |
| Hawa nao eti wamechoka..! |
| Mama Lisa, Beatrice na Lilian Nsimbo.. rafiki za mke wangu.... |
| Siku ya kitchen party, Aika (mama Lisa) akipumzika baada ya kupanga zawadi ukumbini.. |
| Happy (mama Emma au chris..) mdogoake mke wangu.. |
| Mambo ya kitchen party.. |
| Set-up ya kitchen party.. |
| Keki ya kitchen party.. ndio ni kitanda! |
| On the stage.... |
| Hata mie nilikuwepo kwenye, kitchen party.. |
| Thats my family.. mzee Likuda mwenye tai ya njano na kushoto kwake ndio mother..! |
| Tulikaribishwa, alafu na sie tukakatalia palepale.. kutoka left.. Aika, Bahati (balotel), mie na Edwin Robert |
| Hii ni send off.. pole sikukutaarifu hapo kabla... |
| Mke wangu ana drama.. HATARIIII.. Hapa ni kwenye send off wakati anaingia ukumbini sasa.. |
| Body guards.... kushoto ni Cuthbert Dongwe na kulia ni Kasheba Dongwe! Her brothers... |
| Thats family.. "walinzi" wa mbele ni cathbert na kasheba, wakati nyuma ni Sunday na Lembo.. Dada akiwa na kaka zake etii..mh.. |
| sawa.... angalieni step hizo.. |
| Anapokelewa... |
| With her wasimamizi... |
| Keki.. |
| Mie nililetewa samaki kitu cha "migebuka" eeehh.. mama si anatokea Kigoma |
| Eeeh.. si nikabebwa.. |
| Hata sielewi napelekwa wapi..aa Basi sawa! |
0 comments:
Post a Comment