Monday, July 30, 2012
0
Michezo ya Baiskeli itakuwapo! USIKOSE..

Zaidi ya futi sita juu, uuh.. uje ujionee mwenyewe!

Unafikiri atakosea awakanyage? Mhh.. usisubiri kuhadithiwa!

Oooh.. My GOD!  Juuuu...

Mie sitasubiri kuhadithiwa mambo haya, nitakwenda! lakini pia nitaweka matukio yote mahali hapa!

Juu kwa juu... Shaaaa...

Kumbuka ni bureee, pale viwanja vya Jangwani mwezi wa nane tarehe 11 na 12!

Jamaa anageuka nayo hewani hiyo basikeli!

Maombezi yatakuwapo..

Hivi ni vipeperushi vya tamasha, umeshawahi kuviona?




Tafadhali usikose! Njoo ukutane na YESU!


0 comments:

Post a Comment

MAONI YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

MARAFIKI

WANAO NITEMBELEA