Friday, July 27, 2012
0
Kijana! huyu binti hana kovu lolote.. ndivyo anavyoonekana kusema kaka wa Grace wakati wa utoaji wa barua ya kuomba uchumba....


Mh.. kaka yako amenitisha unajua..?

Sunday Dongwe, huyu ni kaka wa Kasheba akipata chakula wakati wa utoaji wa barua hiyo..


Hapa sasa ni kanisani, barua si tumeshatoa? asa kwa nini tusitangaze?


Aaah turudi kwenye utoaji wa barua..kushoto na kulia ni wajomba wa binti Grace, na wakatikati ni kaka!


Mama mkubwa wa Grace, akipata chakula..


Mh.. mama yetuuu...! aah.. huyu ni mama yake Kasheba!

Lazima tumalize shughuli yetu kwa maombi.. ndio!

Kulia  ni Mch.Dongwe ambae ndie baba wa Kasheba, alafu mjomba a'ke kisha mashemeji zake!

0 comments:

Post a Comment

MAONI YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

MARAFIKI

WANAO NITEMBELEA