Koo mbili
za Wanyazaga na Wambukwa mnyambwa wakiwa wamekusanyika kukizunguka
kisima, kinachosemekana kimejaa maajabu cha Bwibwi kilichopo Katika
kijiji cha Iyumbu kilichopo pembezoni mwa Chuo kikuu cha Dodoma;
[UDOM],
Kisima hicho kilichovumbuliwa katikati ya miaka 1,800 kiko katika hatihati ya kufukiwa, ili eneo hilo litumike kwa matumizi mengine. Kisima hicho kinachoaminika ni cha maajabu kwani mtu....
akinywa maji yake hupata Mafanikio ya kiafya na kimaisha.
Kisima hicho kilichovumbuliwa katikati ya miaka 1,800 kiko katika hatihati ya kufukiwa, ili eneo hilo litumike kwa matumizi mengine. Kisima hicho kinachoaminika ni cha maajabu kwani mtu....
akinywa maji yake hupata Mafanikio ya kiafya na kimaisha.
SOURCE DODOMA YETU..PICHA NA JOHN BANDA
0 comments:
Post a Comment