Friday, March 07, 2014
0
Kumbe jiji la Dar-es-salaam halina mpango unaoeleweka wa ujenzi, hali inayopelekea jiji kuendelea kukua bila mpangilio maalum, ambao unaendena
na mahitaji ya watu kwa maana ya Idadi pamoja na uwezo wa Miundombinu yake..
Leo JAHAZINI utawasikia Meya wa Manispaa ya Ilala Mstahiki Jerry Slaa pamoja na Msathiki meya wa manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda.. wakielezea kwa nini miundombinu ya Dar-es-salaam imezidiwa na hivyo kusababisha adha kubwa kila msimu Mvua unapofika..

0 comments:

Post a Comment

MAONI YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

MARAFIKI

WANAO NITEMBELEA