Hakika hakuna aliyemtumaini BWANA na akaaibika, watumishi wa MUNGU, Emmanuel na mkewe Flora Mbasha, wamefanikiwa kufanya huduma huko Scotland, na sasa wanaelekea......
huko Uingereza kwenye huduma nyingine ya uimbaji huko katika jiji la London! Tuwaombee ili pia waweze kuihubiri vema injili ya Bwana na pia waweze kurejea nyumbani salama hapo baadae tarehe 20 Januari.. |
0 comments:
Post a Comment