![]() |
Waziri wa uchukuzi wa Iraq Hadi al-Ameri, |
Shirika hilo la ndege linasema ndege yake ililazimika kurudi Beirut baada ya kuwa angani kwa dakika 21.Ndege hiyo ya shirika la MEA ilichelewa kuondoka kwa dakika sita kwa sababu ya kumkosa abiria mmoja aliyetambulishwa na shirika hilo lenye makao yake Beirut, kama mwana wa kiume wa waziri wa uchukuzi wa Iraq Hadi al-Ameri.
Ndege hiyo iliyokuwa na abiria 71 ilikataliwa kutua Baghdad na kurejea Beirut. Huko Baghdad, msemaji wa waziri mkuu Nouri al-Maliki alisema Bw. Maliki ameamrisha waliofanya maamuzi hayo wafutwe kazi.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.