Sunday, October 05, 2014
0
Ripoti kutoka Magharibi mwa Afrika zinasema kuwa sherehe za Eid Ul Adhaa zimeathiriwa vibaya na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.
Nchini Guinea maeneo ya uma ambapo watu hukongamana ili kufanya ibada yalikuwa bila watu.
Nchini Sierra Leone Muungano wa baraza la maimamu uliwaonya waislamu kutoamkuana kwa kushikana mikono wala kukumbatiana.
Madaktari nchini Ujerumani wanasema kuwa mwanasayansi aliyeambukizwa ugonjwa wa ebola wakati alipokuwa akilifanyia kazi shirika la afya duniani ameponea.
Vilevile Muunguzi wa Ufaransa aliyeambukizwa ugonjwa huo alipokuwa akijitolea katika shirika la madaktari wasio kuwa na mipaka MSF nchini Liberia pia ameponea.
Takriban watu 3400 wamefariki kutokana na maambukizi ya ugonjwa huo.

0 comments:

Post a Comment

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MAONI YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

MARAFIKI

WANAO NITEMBELEA

66203