![]() |
Salvatore Riina |
jamaa za waathiriwa wa genge hilo waliouawa nchini Italia,Papa Francis amesema kuwa wanachama wa kundi hilo hawawezi kutumia fedha wanazopata kwenda peponi.
Wakati wa ibada hiyo majina ya watu 800 waliouawa na wanachama wa genge hilo yalisomwa.
Waandishi wanasema kuwa lengo la ibada hiyo ilikuwa kuonyesha kwamba kanisa katoliki linapinga uhalifu mbali na kujitenga na wakuu wa genge hilo wanaodai kuwa wafuasi wakubwa wa kanisa hilo.
SOURCE BBC SWAHILI
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.