miwili sambamba ina urefu wa kama kilomita 15 hadi 20.
Ndege na meli kutoka nchi kadha zimekuwa zikifanya msako katika eneo la bahari baina ya Vietnam na Malaysia.
Usiku ulipoingia ndege hiyo ya aina ya Boeing 777 ilikuwa bado haikuonekana - ndege ilipoteza mawasiliano na waongozi wa radar saa mbili baada ya kuanza safari.
Ilikuwa imebeba abiria na wafanyakazi wa ndege 239.
SOURCE BBC SWAHILI
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.