Uchunguzi piya unafanywa kuhusu marubani wawili wa ndege hiyo na nyumba zao zimepekuliwa.
Polisi wa Malaysian wanasema piya wanachunguza historia ya wafanyakazi wengine wa ndege na abiria wote pamoja na wahandisi waliohudumia ndege hiyo.
Waziri wa Usafiri, Hishammuddin Hussein, alisema sasa nchi 25 zimehusika katika msako.
Alisema sasa wanalenga zaidi njia mbili ambazo pengine ndege hiyo ilifuata - kaskazini au kusini.
![]() |
Ndege iliyopotea, ina ukubwa kama hii 777 |
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.