Mtafiti Michaela Binder, aligundua kuwa mifupa hiyo, ilikuwa...
na mashimo, na kugundua kuwepo aina ya Saratani katika mifupa hiyo.
Ugunduzi huu unaonyesha kuwa Saratani sio ugonjwa wa kisasa tu na hivyo wanasayansi watapata kuchunguza ambavyo ugonjwa huu ulianza miaka zaidi ya elfu moja iliyopita.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.