Thursday, September 27, 2012
0
Jamaa anauwezo wa kuyahamisha macho! mh.. vipaji vingine bana.. Lakini pia huko ulaya, kuna ngazi ambazo zimeambatanishwa na.......

 
 sehemu za kutelezea kama utaona ngazi zinakuchelewesha...

Ukitaka tumia ngazi au teleza..!!

Sasa huyu mbwa ndio nini tena?

Mbwa mkubwa kuliko wote Duniani.. Ni picha ya ukweli wala usigune!

Huyu ni paka wa Kichina!

Inavyoonesha anataka kuimeza yote lakini anashindwa sababu mdomo mdogo!

Watoto wanaiga kila kitu, tuwe makini wazazi!

Ndio wazee hawa wanamaanisha kwani toka 1961, ndipo haswa walipokutana kwa mara ya kwanza!

0 comments:

Post a Comment

MAONI YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

MARAFIKI

WANAO NITEMBELEA