Jamaa anauwezo wa kuyahamisha macho! mh.. vipaji vingine bana.. Lakini pia huko ulaya, kuna ngazi ambazo zimeambatanishwa na....... sehemu za kutelezea kama utaona ngazi zinakuchelewesha... |
Ukitaka tumia ngazi au teleza..!! |
Sasa huyu mbwa ndio nini tena? |
Mbwa mkubwa kuliko wote Duniani.. Ni picha ya ukweli wala usigune! |
Huyu ni paka wa Kichina! |
Inavyoonesha anataka kuimeza yote lakini anashindwa sababu mdomo mdogo! |
Watoto wanaiga kila kitu, tuwe makini wazazi! |
Ndio wazee hawa wanamaanisha kwani toka 1961, ndipo haswa walipokutana kwa mara ya kwanza! |
0 comments:
Post a Comment