| Lulu mdogo wake na Grace... |
| Mama mzazi wa Grace, akifurahi kwa tabasamu la Kichaga! |
| Graceee.... |
| Pozi muhimu! na urembo unachangia... SAMAHANI LAKINI! |
| Grace akiserebuka na MC mwenye "degree" mbili.. Big Boss Bernadetha Emmanuel.. |
| Unisikilize tena kwa makini.. NDOA si lelemama! |
| Grace na dada zake! |
| Mawifi zake Grace sasa, kushoto ni mama Yona, mama Emma au Happy na Super tall... |
| Lily nsimbo a.k.a mama Jumatatu, Mama watoto! alafu na huyu sijui nani.. ngoja ntakuambia baadae.. Mh..! |
| Kitu cha keki sasa, kama jiko na sufuria lake vileee... |
| Eti yupo na mamaye.. |
| Keki akilishwa mama mkwe, Mama Mchungaji Marry Dongwe! |
| Madada nao walilishwa.. |
| A hug please! thats whats up.. mh..! |
| Kula keki dada usahau shida zako! |
| Asante mama mkubwa! |
| Mama Mchungaji Marry Dongwe akiwa na shangazi, akifuatilia kwa makiniii.. |
| Mama Emma (Happy) |
| Mh..... |
| Basi SAWA... |
| Tucheze tufurahi.. ALELUYAH! |
| Ooohh.. BWANA YESU APEWE SIFA! |
| High table.. |
| Kitchen party.. sasa je! vitu vya jikoni hivyo! |
| Yes matunda.. |
| Ndio zawadi lazima zikae kwenye mpangilio mzuuuri! hapa ilikuwa kabla ya shughuli mapemaa asubuhi yake! |
| Lily, Beatriceee na Aika wakipanga zawadi! |
| Ndio kitanda kikiwekwa mahala pake, zawadi kutoka kwa mama mkwe! |
| Hata gari pia ilipendeza.. eeh.. NDIO! |
0 comments:
Post a Comment