Monday, September 10, 2012
0


Ni furaha kila sehemu baada ya mchungaji Youcef Nadarkhani kuachiwa huru kutokana na kesi ya kuhubiri Injili (uinjilisti) kwa waislamu iliyompelekea kufungwa jela na kuhukumiwa kifo.
Picha hii Mchungaji Youcef akiwa gerezani, wakati alipotembelewa na mkewe!
                                        
          

Youcef Nadarkhani ametumikia jela miaka mitatu ambapo mwaka 2009 alikamatwa na kuwekwa ndani, 2011 sheria ya kiislamu ilimpa siku tatu aikane imani yake. Pastor akasimamia imani yake na hakumkana Kristo.
Asasi mbali mbali za kimataifa zililaani kitendo cha mchungaji Youcef Nadarkani kutumikia kifungo sababu ya imani yake akiwemo Raisi wa Marekani Barack Obama.
Mitandao ya kijamii ilifanya kampeni kwa ajili ya kuitaka Iran kumwachia huru mchungaji Youcef na wachungaji mbali mbali walitaka Mungu aingilie kati. Mungu amejibu maombi

0 comments:

Post a Comment

MAONI YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

MARAFIKI

WANAO NITEMBELEA