Kadhalika imetaka nchi hiyo ishurutishe vikosi vinvayounga mkono Urusi nchini Ukraine kuweka chini silaha.
Serikali ya mpito ya Ukraine inasema kuwa nchi za Magharibi pamoja na serikali ya Urusi zinawaamuru wapiganaji hao kuendelea na vita chini Ukraine. Madai ambayo Urusi imekanusha vikali.
Maafisa wakuu wa Ukraine wameanzisha tena kampeini dhidi ya ugaidi katika miji kadhaa hasa eneo la Mashariki linalodhibitiwa na wanajeshi wanaounga mkono Urusi.
Rais wa muda wa Ukraine, Olexander Turchynov , aliamuzu kuanzishwa kwa operesheni hiyo baada ya wanaume wawili akiwemo mwanasiasa Vladimir Rybak - kupatikana wakiwa wameuawa kinyama.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.