Lakini alisema bado kuna kazi ya kukamilisha lengo la kuondosha umaskini, tofauti za pato na ukosefu wa ajira.
Sherehe hizo zinafanywa kabla ya uchaguzi mkuu ambapo chama tawala cha ANC kinakabili upinzani dhidi ya uongozi wa nchi tangu kumalizika kwa utawala wa ubaguzi wa rangi mwaka wa 1994.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.