Kipa huyo mwenye umri wa miaka 30 kutoka Togo alikuwa amelidaka kombora lililopigwa langoni mwake, lakini mshambuliaji alipoteza mwelekeo na kumkanyaga Azougoui kichwani.
Mechi hiyo ya siku ya Jumapili ilichezwa Bongoville ambalo ni umbali wa kilomita 800 kutoka Libreville mji mkuu wa Gabon.
"Ni vigumu sana kushuhudia hali hii ya uchungu ,'' ilisema taarifa katika mtandao wa klabu hiyo.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.