Shambulizi hilo linajiri siku mbili baada ya afisa mwengine wa polisi kuuawa katika mlipuko wa bomu katikati ya mji mkuu wa Cairo.
Wanamgambo wa kiislamu wametishia kutekeleza mashambulizi dhidi ya vikosi vya usalama vya taifa hilo.
Mamia ya wanajeshi pamoja na polisi wameuawa tangia jeshi limuondoe madarakani aliyekuwa kiongozi wa taifa hilo Mohammed Morsi mnamo mwezi Julai.
Zaidi ya wafuasi elfu 15 wa vuguvugu la Muslim Brotherhood wamefungwa jela.
Mamia ya wengine wamepewa hukumu ya kifo.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.