Madaktari wengine wawili pia walijeruhiwa.
Mlinzi huyo kisha alijipiga risai na kwa sasa anazuiliwa na polisi.
Hili ndilo shambulizi la pili linalowalenga wakristo nchini Afghanistan mwaka huu.
Mwezi Machi wanamgambo wa Taliban walivamia jumba moja la kulala ambalo hutumiwa na raia wa kigeni wananaofanya kazi na shirika moja la kilimo.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.