Kwa mujibu wa maafisa wa usalama, mabomu yalikuwa yametegwa karibu na kituo cha polisi.
Hauna kundi lolote limekiri kufanya mashambulizi hayo.
Misri imekuwa ikikumbwa na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi ya taasisi za serikali yanayofanywa na makundi ya wapiganaji hasa baada ya kupinduliwa kwa aliyekuwa Rais Mohammed Morsi mwezi Julai.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.