Wanamgambo wa kipalestina katika
ukanda wa Gaza wamerusha makombora na mizinga kusini mwa Israeli.
Makombora hayo yametua katika eneo
lisilokaliwa na watu na hakuna taarifa za kuwepo.....
kwa majeruhi .
Vugu vugu linalotawala Gaza la Hamas
na kundi la kiislam la Jihad limesema lilirusha makombora hayo kulipiza kisasi
mashambulio ya ndege za kijeshi yaliyofanywa na Israeli na kuwajeruhi
wanamgambo wawili wa kipalestina, na raia wanane kwenye ukanda wa Gaza.
0 comments:
Post a Comment