Thursday, October 11, 2012
0

Papa Benedict wa kumi na sita, ametoa baraka zake kwa lugha ya kiarabu katika hotuba yake ya kila wiki kwa dunia nzima.
Hotuba hiyo hupeperushwa moja kwa moja kupitia televisheini.
Papa alisema kuwa anawaombea watu wote wanaotumia lugha ya......
 
 Kiarabu.
Kabla ya maombi yake, padri mmoja pia alisoma hotuba ya wiki kwa mara ya kwanza katika lugha ya Kiarabu.
Maafisa katika makao makuu Vatican walisema kuwa hatua hiyo huenda itawafarijji wakristo Mashariki ya kati , wengi wao ambao wamekuwa wakiondoka kutoka eneo hilo wakisema kuwa wanahofia usalama wao.


0 comments:

Post a Comment

MAONI YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

MARAFIKI

WANAO NITEMBELEA