Daktari Denis Mukwege akitembelea wagonjwa! |
Mtetezi maarufu wa wathiriwa wengi
wa ubakaji katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo amenusurika jaribio la
kumuua.
Daktari Denis Mukwege alishambuliwa
na watu waliokuwa na...
bunduki nyumbani kwake Bukavu aliko na hospitali
inayowahudumia waathiriwa wa dhulma za kimapenzi.
Alihepa risasi lakini mlinzi wake
aliuawa katika tukio hilo.
Daktari Mukwege ni mpasuaji
mashuhuri duniani na ameshinda tuzo nyingi tu kimataifa kwa juhudi zake kutetea
wanawake wanaobakwa na makundi ya waasi.
0 comments:
Post a Comment