Zaidi ya polisi ishirini wa Misri
wamefariki kufuatia ajali ya barabarani, katika rasi ya Sinai, baada ya dereva
wa gari lao kupoteza mwelekeo na...
kugonga lori.
Polisi wengine ishirini
walijeruhiwa.
Polisi hao walikuwa sehemu ya kikosi
cha polisi kutoka wizara ya usalama wa ndani ambao kwa ushirikiano na jeshi
wamekuwa wakipambana na wanamgambo wa kiisilamu waliofanya msururu wa
mashambulizi katika rasi ya Sinai.
0 comments:
Post a Comment