Rais wa Ufaransa amesema kuwa serikali itafanya kila iwezalo kuwapata wauaji.
Duru zinaarifu kuwa mwili wake ulipatikana pamoja na maiti wengine wanne katika lori lililokuwa linaendeshwa na wapiganaji wa kiisilamu katika eneo la Magharibi mwa nchi la Bouar.
Watu kumi wamezuiliwa na polisi ili kuhojiwa
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.