Wanasema tukio hilo limetokea hapo jana kiasi ya kilomita 30 kutoka eneo kubwa la uchimbaji mafuta la China ambalo nchi zote zinadai kulimiliki.
Uchimbaji huo wa mafuta wa China umezusha mvutano kati ya Vietnam na China, na kumekuwa na visa vya maboti kugongana katika wiki za hivi karibuni.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.