Chama cha upinzani cha Democratic Alliance, kinashikilia nafasi ya pili na asilimia 24 ya kura ikiashiria ongezeko maradufu ya kura ikilinganishwa na uchaguzi uliotangulia.
Chama kipya kinachoongozwa na aliyekuwa kiongozi wa tawi la vijana katika ANC Julius Malema, kinashikilia nafasi ya tatu na asilimia 5 ya kura zilizopigwa.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.