Rais Goodluck Jonathan amesema kuwa kujiunga kwa Israel katika operesheni hiyo ni wazi kwamba dunia nzima inaunga mkono usakaji wa wasichana hao.
Mwandishi wa BBC nchini Nigeria amesema kuwa uwepo wa wataalam wa Israel katika oparesheni hiyo huenda kukazua hisia za kisiasa nchini Nigeria ambapo wasiwasi kati ya wakristo wanaoshi kusini mwa taifa hilo na waislamu wanaoishi kazkazini huzua ghasia.
Awali Gavana wa jimbo la Borno Kaskazini Mashariki mwa taifa hilo, eneo ambalo wasichana hao walitekwanyara alisema kuwa ana habari kuhusu kule walipo wasichana hao.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.