Sunday, August 26, 2012
0
Parish ya Mbezi tunapenda wageni, hapa tulikuwa tukimkaribisha mchungaji THOMASI MTEBI...











Wageni wetu, kutoka kushoto ni Mwinjilisti Francis Nyerere, Mchungaji Thomasi Mtebi na Bw. Victor Mtebi...



Mzee wa kanisa mama MWITETE, akisalimu kanisa! siku hizi anafanya kazi Manyara..







MBARIKIWEEE....







ASANTENI NA MUNGU AWABARIKI...



WASHINDI KWAYA...



WASHINDI KWAYA...



ALELUYAH...



UWEPO WA MUNGU UPO MAHALA HAPA..





Mwinjilisti Joseph akiongoza kusifu....



YESU ni BWANAAAA....



Mtumishi Cuthbert akiwa kazini.....



ooohhh aleluyah



Binti wa YESU, Bi Henjewele akisifu...




Kutoka kushoto ni Mch. Dongwe, Mwinjilisti Francis, Mch. Mtebi na Bw. Victor..WAKISIFU!



AMINA..



hapa wakisifu...



hapa wakisifu...



hapa wakisifu...



hapa wakisifu...



hapa wakisifu...



hapa wakisifu...



Hapa ni wakati wa kuabudu, mtumishi MOSES akiwa kazini...





Hapa ni wakati wa kuabudu.....



Hapa ni wakati wa kuabudu....



Sasa namkaribisha mumishi wa bwana mchungaji THOMASI MTEBI



uwepo wa MUNGU kwa watu wa MUNGU!



KARIBU mtumishi......



Mchungaji THOMASI MTEBI akihubiri..

0 comments:

Post a Comment

MAONI YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

MARAFIKI

WANAO NITEMBELEA