Esther Wahome, akipozi kwa picha |
Esther Wahome |
Muimbaji wa nyimbo za Injili nchini Kenya Esther Wahome aliyepata umaarufu kutokana na wimbo wa "kuna dawa" Jumamosi iliyopita alivikwa taji la Mrs. University kwenye hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Hoteli - Hilton, Nairobi
Shindano la Mrs Universe linawashirikisha wanawake walioolewa tayari pia si kwa ajili ya urembo tu ila ni kuyaangaza maisha ya wanawake wenye heshima.
Wahome ni mama mwenye watoto watatu anatarajia kuiwakilisha Kenya tarehe 13 August litakalofanyika nchini Urusi mpaka sasa Mrs Universe inawashiriki chini ya nchi 50
|
Kwa sababu wewe ni mpendwa unaruhusiwa kupaki hapa, alafu ukaribie KANISANI! BARIKIWA.. |
0 comments:
Post a Comment