"makaka na madada, hapana vita, hapana vita, nawafikiria hasa watoto ambao wananyimwa matumaini ya maisha ya maana, ya siku za mbele, watoto waliokufa, walioumia, watoto walioachwa na vilema, waliokuwa yatima, watoto ambao wanacheza na mabaki ya vita, watoto wasiojua kucheka.
Acheni kupigana.
Nakuombeni kwa moyo wangu wote.
Tafadhali, acheni sasa hivi!"
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.