Mtoto mmoja nchini Marekani ambaye alidhaniwa kuwa
mtu wa kwanza nchini humo kutibiwa virusi vya HIV akiwa mtoto,
amepatikana tena kuwa na virusi hivyo.
Mtoto huyo amekuwa bila ya virusi kwa zaidi ya miaka miwili baada ya kupata matibabu maalum akingali mtoto mdogo.Kisa chake kiliibua matumaini makubwa ya tiba ya ugonjwa wa ukimwi. Madaktari wanasema kuwa kuibuka tena kwa virusi hivyo kumewasikitisha sana madaktari.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.