Mahakama nchini Misri imewahukumu jela miaka saba
wandishi watatu wa habari wa shirika la habari la Al Jazeera waliokuwa
wamezuiliwa kwa miezi sita nchini humo.
Walipatikana na hatia ya kueneza habari za kupotosha na kushirikiana na kundi la wapiganaji wa kiisilamu la Muslim Brotherhood.Mmoja wa wandishi hao ni Peter Greste, raia wa Australia na ambaye pia alikuwa mwandihi wa habari wa BBC wakati moja.
0 comments:
Post a Comment