Wednesday, November 07, 2012
0
Mchungaji Meshack Bent Dongwe wa Parish ya Mbezi kwa Yusuph (KLPT) ambaye juzi tarehe 05-Novemba-2012, ametimiza miaka 61. Kwa kumshukuru MUNGU aliita familia yake ili....                                                                                                                                                             
aweze kufurahi na kumshukuru MUNGU  akiwa nao, pamoja na yote pia aliaandaa chakula cha jioni ili kuhitimisha shughuli hiyo fupi. MUNGU mbariki mtumishi wako, umpe siku nyingi na heri, ili aipeleke kazi yako mbele. BARIKIWA..
Akicheza na wajukuu zake..

Binti yake (Beatrice) akimvalisha kofia..

Wakiangalia TV..

Wakiangalia TV..

Familia pamoja.. aliyejishika kidevu ni mama mchungaji

Kushoto ni kijana wa kwanza kwa Mchungaji, anaitwa Sunday..

Mhh...

Yess..

Kushoto ni binti wa dawa (pekee) wa Mchungaji Dongwe, na kulia ni mama (Mke wa Mchungaji Dongwe) wakifurahia jambo..

Lembo, Kasheba na Beatrice.. wote watoto wa mchungaji Dongwe..

Aleluyah...

Msosi sasa, hiyo ni saladi!

Matunda, ndio! sio hadi uumwe..

Hapana sio kuku, ni Bata.. mhh..

Ndiziii..

Pilau la njegere..

Chakula..

"Mtoto" alianza kuchukua chakula..

Mama naye akafuatia..

Mhh.. Lembo si usubiri mama amalize!!

Vinywaji vya wapendwa ni soda tu..

Sunday akiendelea na msosi..

Kimeshaombewa, karibu tule..

Ba mdogo Kimata akijilamba kwa utamu wa msosi.. chezea!

Mama Brilliant, Mke wa Sunday na mkwe wa Mchungaji Dongwe!

Cheki alivyotoa macho... si huyu wa katikati Kasheba,, ndio!

Lembo akimfungulia "mtoto" soda... Khatariiiii! Lembo lakini!

Mchaga utamjua tu!!! Grace au mama Kasheba... mkwe wa mchungaji Dongwe akipata chakula..

Hivi Lembo, Pilau na supu kwelii???

Mama na mwana wanakula na kuteta...

Sasa mama mchungaji hapo unasinzia, unafikiri, unacheka au??? aah.. lakini yote ni mema tu! ALELUYAH!

0 comments:

Post a Comment

MAONI YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

MARAFIKI

WANAO NITEMBELEA