Monday, September 01, 2014
0
India sasa wanawake hawatakufa wakijihifadhi.

Kikundi kimoja cha kujitolea nchini India kimegawa vyoo 108 bure katika kijiji ambako wasichana waliuawa kwa kunyongwa katika miti mwezi mei mwaka huu
Wasicha watatu wapwa waliuwa katika eneo la Katra Sahadatganj huko Uttar Pradesh wakati walipokwenda kujisaidia porini.
Wanaharakati waliliona hilo la uhaba wa vyoo ambalo liliwalazimu wasicha na wanawake kutembea umbali mrefu ili kujisaidia na ndiko huko hukumbwa na masahibu.
Nusu ya watu nchini India sawa na watu bilioni 1.2 hawana vyoo vya kujihifadhi.
Na wakasema kufuatia vyoo hivyo nafuu wanaamini hakuna mwanamke ambaye atapoteza uhai ati tu kaenda haja.ni kauli ya Bindeshwar Pathak, mvumbuzi wa vyoo hivyo nafuu.

0 comments:

Post a Comment

MAONI YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

MARAFIKI

WANAO NITEMBELEA