Tuesday, August 13, 2013
1




Polisi nchini Urusi wamemzuilia daktari mmoja mpasuaji kwa madai ya kuiba kifuko kilichokuwa na dawa ya kulevya ya Heroin kutoka tumboni mwa mgonjwa.
Polisi katika eneo la Siberian walimtaka..
daktari kumfanyia upasuaji mshukiwa ili waweze kunasa dawa hiyo ambayo mgonjwa alikuwa ameimeza. Hata hivyo polisi waligundua kuwa seheme ya dawa hiyo iliyotolewa tumboni mwa mshukiwa ilikuwa inakosekana
Maafisa wa utawala wanadai kuwa daktari huyo alikuwa mlevi walipomkamata. Huenda akafungwa jela kwa miaka 15 ikiwa atapatikana na hatia ya wizi wa dawa za kulevya.


1 comments:

MAONI YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

MARAFIKI

WANAO NITEMBELEA