Alirushiwa kitu wakati mashabiki walipokerwa kwa timu yake, JS Kabylie, ilipofungwa kwa magoli mawili kwa moja katika mechi iliyochezwa nyumbani, Tizi Ouzou yeye ndiye aliyefunga hilo goli moja kwa timu yake.
Wizara ya mambo ya ndani ya nchi ya Algeria imeamrisha uchunguzi ufanywe.
Ligi ya Algeria imefunga uwanja wa mpira wa timu ya JS Kabylie na imeitisha mkutano wa dharura Jumatatu.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.