Wafanyakazi kwenye mitambo ya mafuta na kazi za lazima za ukarabati, hawahusishwi na uamuzi huo ikiwa hatua zinachukuliwa kuwakinga na jua.
Nchi jirani ya Qatar, imelaumiwa sana kwa kuwalazimisha vibarua kutoka India kufanya kazi kutwa nje, wakijenga mwahala mwa mashindano ya kandanda ya mwaka wa 2022.
Imesema itachukua hatua kufanya mazingira yao ya kazi kuwa bora.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.