Thursday, December 20, 2012
0
Wakristo kote Duniani, kila ifikapo tarehe 25/Desemba huwa ni muda wa kukumbuka kuzaliwa kwa Bwana wetu MASIAH...YESU KRISTO WA NAZARETI! Lakini swali la kujiuliza ni je......


 tutasherehekea kwa kutafakari yaliyo mema na yale yaliyo ya kumpendeza MUNGU. Kwani wengine hutumia kipindi hiki kufanya yale yanayomchukiza BWANA wa MAJESHI... Ole wako wewe unayeendelea kufanya maovu au wewe unayeweka miadi ya kufanya maovu!

0 comments:

Post a Comment

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MAONI YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

MARAFIKI

WANAO NITEMBELEA

66205